Gairo ni wilaya mpya iliyojitenga kutoka wilaya Kilosa.
Kaskazini imepakana na wilaya ya Kilindi,Mashariki imepakana na Mvomero,Magharibi imepakana na Kongwa na kusini imepakana na Kilosa...
Kuna misimu miwili ya mvua mvua za vuli huanza Dec.hadi Febr..na mvua za masika huanza March-June..
Usafiri..wilaya hii imepitiwa na Barabara kuu ya Dar-Mwanza...
Mazao:Mahindi,Viazi vitamu,maharage,Alizeti
Hali ya hewa ni baridi kiasi mda wote...
Kabila dominant ni Wakaguru
Miji maarufu ni Gairo,Mtumbatu,Maguha,Berega,Chakwale
Nimekusaidia kidogo mkuu wangu
Home Sweets Home Mkuu Pendesha Karibu Sana Mkuu,Najua itakuwa issue za transfers kikazi hizo au nimebugi??Jamani, nawasalimu kwanza. Naombeni mnisaidie kunipa picha halisi ya wilaya ya Gairo mkoani Morogoro. Kigeographia , kiuchumi pamoja na kisiasa. Asante.
Gairo ni wilaya mpya iliyojitenga kutoka wilaya Kilosa.
Kaskazini imepakana na wilaya ya Kilindi,Mashariki imepakana na Mvomero,Magharibi imepakana na Kongwa na kusini imepakana na Kilosa...
Kuna misimu miwili ya mvua mvua za vuli huanza Dec.hadi Febr..na mvua za masika huanza March-June..
Usafiri..wilaya hii imepitiwa na Barabara kuu ya Dar-Mwanza...
Mazao:Mahindi,Viazi vitamu,maharage,Alizeti
Hali ya hewa ni baridi kiasi mda wote...
Kabila dominant ni Wakaguru
Miji maarufu ni Gairo,Mtumbatu,Maguha,Berega,Chakwale
Nimekusaidia kidogo mkuu wangu
Mbunge wa hapo ni ccm
Wakazi wake wanipenda sana ccm licha ya matatizo uliyosoma hapo juu
Usiache kuipigia kampeni ccm