Mkuu hapa ni bei yako tu. Kuna magoma hadi ya Million 50 aisee. Ni vema utaje bei/range ya uwezo wako wataalamu wakupe ushauri na mahala pa kununua aisee.
Mkuu hapa ni bei
yako tu. Kuna magoma hadi ya Million 50 aisee. Ni vema utaje bei/range
ya uwezo wako wataalamu wakupe ushauri na mahala pa kununua
aisee.[/QUOTE Bei isizidi laki 5