Msaada kwa Adsense account

Mr. madevu

JF-Expert Member
Joined
Mar 2, 2013
Posts
432
Reaction score
75
Nimejaribu kujisajili kwa Google Adsense ila wamegoma kwa sababu ya lugha pamoja na na post zangu zina picha nyingi.

Nifanye nn ili niweze kuweka Adsense kwenye blog ya Kiswahili?
 
Kamwe huwezi weka google adsense kwenye blog ya kiswahili cha kufanya hapo futa post zote za kiswahili alafu uwe unachapa habari ya kiingereza yenye maneno zaidi ya 500 kila siku jitahidi kupost hata habri 3 ukimaliza wiki jaribu ku-apply tena google adsense
 
Asante kwa ushauri ndugu. Je baadae usajili nikikubalika naweza apply hizo code kwenye blog ya kiswahili? Maana nimepitia blog nyingi za Kiswahili nimekuta wanapata Ads kutoka Google.
 
Asante kwa ushauri ndugu. Je baadae usajili nikikubalika naweza apply hizo code kwenye blog ya kiswahili? Maana nimepitia blog nyingi za Kiswahili nimekuta wanapata Ads kutoka Google.
Jaribu Huone Adsense sasa hivi hawataki mchezo kabisa yaani uki vunja sharti hata moja tu hakuna msamaa hata kama una 10000000 kwenye akaunti, unafungiwa na pesa huzipati unapo pita unakuta adsense kwenye blog za kiswahili hao wame tumia ujanja na ikigundulika unafunguwa, Achana na blog za Kiswahili hazilipi Ndugu Hebu chek MM Hapa CHini
 
Kuna aina mbili ya AdSense account Normal na Premium Adsense account, ukiwa na premium account unaweza weka hata kwa kiswahili haina shida na masharti yanapungua mno tofauti na mwenye account ya kawaida.
 
Kuna aina mbili ya AdSense account Normal na Premium Adsense account, ukiwa na premium account unaweza weka hata kwa kiswahili haina shida na masharti yanapungua mno tofauti na mwenye account ya kawaida.
Hapo naanza pata mwangaza. Hio premium acc. inalipiwa au ni bure kama hii normal? Na ni bei gani? Je procedure za kujiandikisha ni hizi hizi za normal acc?
 
Kuna aina mbili ya AdSense account Normal na Premium Adsense account, ukiwa na premium account unaweza weka hata kwa kiswahili haina shida na masharti yanapungua mno tofauti na mwenye account ya kawaida.
KUNA BAADHI YA TEMPLATE ZINAKUBALI KISWAHILI HATA KWA NORMAL ACCOUNT NA HAWAWEZI KUSHITUKA KAMWEE
 
Hapo naanza pata mwangaza. Hio premium acc. inalipiwa au ni bure kama hii normal? Na ni bei gani? Je procedure za kujiandikisha ni hizi hizi za normal acc?
Premium acc hailipiwi wao AdSense ndo wanaoamua wakupe premium acc,kuna vitu vingi wanavyofanya AdSense wampe mtu premium acc,baadhi ni ubora wa website/blog,idadi ya watembeleaji ni kuanzia 300000-1000000 kwa siku.Aina ya habari unazoandika nk.
Faida ya kuwa na hii account
1.Page RPM na CPC inakuwa kubwa ,mauzo huongezeka sana.
2.Unaweza kuweka matangazo zaidi ya 5 kwenye page moja.
3.Sio rahisi sana kukufungia kwa sababu kwako hawakazi sana.
4.Ni rahisi kufanya mawasiliano nao na kufanya negotiations za bei na nk.
5.Unaweza kuongeza ukubwa wa Matangazo kwa kuadjust codes. Nk
 
Nimekuelewa boss. Kwa mtu anaeanza inabidi ujitume sana mpaka ufikie level hizo.
Ila nimeambiwa na mdau hapo juu kuwa naweza kupata template ambayo itakua inakubali kiswahili bila wao kishtukia. Je ni kweli
 
Nimekuelewa boss. Kwa mtu anaeanza inabidi ujitume sana mpaka ufikie level hizo.
Ila nimeambiwa na mdau hapo juu kuwa naweza kupata template ambayo itakua inakubali kiswahili bila wao kishtukia. Je ni kweli
Huwezi kufanya kitu AdSense wasikushitukie,sema wanaangalia na uzito wa kosa,kupost kiswahili haina madhara kwao sema kwako matangazo hayata onekana kwenye post za kiswahili,pia hakuna template iliyoandaliwa rasmi kwa ajili ya post za kiswahili .
 
ni template kama hii SAFIBORA BLOG pia zipo na nyingine hii ukitumia kiswahili haina tatizo
Dah nimeiona kiongozi. Kwa hio hapa nikichagua template yoyote kwa hawa jamaa itakubali kama hii yako?
 
Huwezi kufanya kitu AdSense wasikushitukie,sema wanaangalia na uzito wa kosa,kupost kiswahili haina madhara kwao sema kwako matangazo hayata onekana kwenye post za kiswahili,pia hakuna template iliyoandaliwa rasmi kwa ajili ya post za kiswahili .
Sawa kaka. Kwa hio suluhisho pekee kwa mm mwenye na blog ya kiswahili ni nn? Au nibadilishe content kwenda kwe kizungu
 
 
Heri lee ulinipa masharti ili unisaidie kitu, nikatimiza nakutumia pm hata hunijibu mkuu, sawa bana haya maisha tu ipo siku tu Mungu atashusha baraka zake,
jaribu kusoma vizuri nilivyokuambia ukielewa unitafuta 1000 hailingani na 2000
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…