selestin john
Member
- Jan 20, 2012
- 67
- 8
Wakuu msaada,jana nilikuwa natumia computer lakini ghafla ikazima yenyewe,so baada ya hapo kila nikiwasha inaonyesha mwanga mwekundu kwenye button ya kuwashia,nimejaribu kuipumzisha kwa muda mrefu sana lakini bado vilevile,msaada wenu wakuu