Huitaji kumfuata mtu inbox wala nini fanya hivi...
Kama alikuwa ka enable find my iphone
Tafta simu ya iphone au ipad fungua app ya find my iphone
Kwenye username aweke email aliyoiset kama icloud ya hiyo iphone x
Passowrd pia ajaze password ya hiyo icloud
Ita search na kuwaonyesha simu ilipo endapo itakuwa imewashwa na ina line.
Kuna option ya kuilock kama atakuwa hakuiwekea lock unaweza ilocate na kuweka any messee kwenye lock screen pia kuna option ya kufuta kila kilichomo kwenye hiyo simu, hii usiitumie kwa maana ukifuta hutaweza kuifuatilia tena.
Kuna pia option ya kufanya iite mfano kama unaitafta umei mispalace ndani.
Kama hauna iphone au ipad au comp ya mac basi waweza fungua icloud.com uka sign in pia utaweza illocate.
Kumbuka usipoiona ujue sim imezimwa au hajaweka line so haisomi inernet.
So simple