Msaada Kutoa Password za Bios Settup Kwny Laptop

Msaada Kutoa Password za Bios Settup Kwny Laptop

Mastamind

JF-Expert Member
Joined
Apr 30, 2013
Posts
1,316
Reaction score
840
Watalamu wangu buroo wenu anatatizwa na hii k2,,Nataka piga window inagoma coz imechezewa kwny bios setup na kupigwa password na aliyeniuzia yuko nje ya inji cna mawacliano tena,,plz wachawi wa Computer nisafisheni tongotongo,,,,
 
toa processor na ram kisha iwashe iache on kwa muda wa masaa 12
 
kunakitu kinaitwa COSMOS
ambaya ni capacitor inayo store charge, kwahiyo hata utoe processor, ram bado ni pale pale, ila inawezekana kuitoa hiyo cosmos battery na kubadirisha yan has, chanya na chanya hasi kisha ika sahau mana tarehe, pasword zote hukaa hapo)
 
kunakitu kinaitwa COSMOS
ambaya ni capacitor inayo store charge, kwahiyo hata utoe processor, ram bado ni pale pale, ila inawezekana kuitoa hiyo cosmos battery na kubadirisha yan has, chanya na chanya hasi kisha ika sahau mana tarehe, pasword zote hukaa hapo)

senki yuu kaka
 
Kama laptop yako ni hp ni PM nikube website ambayo utaitumia kugenerate bios password
 
Kama laptop yako ni hp ni PM nikupe website ambayo utaitumia kugenerate bios password
 
Kama laptop yako ni hp ni PM nikupe website ambayo utaitumia kugenerate bios password without haviv troble of removinh or change the CMOS battery
 
Du!, wabongo kwa laptop za wizi!. Memory ya bios iko kwenye cosmos battery hivyo
1. Lazima ipigwe spana kuifikia!.
2. Kama ni latest, imefungwa pia gprs chip, ukiiwasha tuu mwenye laptop yake ataiona!.
3. Kama ilipoibwa is "soiled!" siku ya siku yatakukuta!.
4. Hata kama haiko "soiled!" bado "karma" ya aliyeibiwa itakuandama!.
5. Na mwisho, kama ulivyoipata "easy come!", vivyo hivyo na kwako itaondoka "easy go!"
Pasco.
 
Du!, wabongo kwa laptop za wizi!. Memory ya bios iko kwenye cosmos battery hivyo
1. Lazima ipigwe spana kuifikia!.
2. Kama ni latest, imefungwa pia gprs chip, ukiiwasha tuu mwenye laptop yake ataiona!.
3. Kama ilipoibwa is "soiled!" siku ya siku yatakukuta!.
4. Hata kama haiko "soiled!" bado "karma" ya aliyeibiwa itakuandama!.
5. Na mwisho, kama ulivyoipata "easy come!", vivyo hivyo na kwako itaondoka "easy go!"
Pasco.

ww ni chiz,,
 
ww ni chiz,,
kupigwa password na aliyeniuzia yuko nje ya inji cna mawacliano tena
Anayeiba ni mwizi, na anayenunua kitu cha wizi ni mwizi pia!, unawezaje kununua gadget kwa mtu bila kupewa password!. eti umepoteza mawasiliano kwenye dunia ya sasa ya cyber world?! mkishauriwa kuacha wizi, mnaita watu machizi!,
In this matter kweli mimi chizi!.
Pasco.
 
Kwani kawaambieni kama kaiiba?

Anayeiba ni mwizi, na anayenunua kitu cha wizi ni mwizi pia!, unawezaje kununua gadget kwa mtu bila kupewa password!. eti umepoteza mawasiliano kwenye dunia ya sasa ya cyber world?! mkishauriwa kuacha wizi, mnaita watu machizi!,
In this matter kweli mimi chizi!.
Pasco.
 
Kuna software niliwahi kutumia once inaitwa pogostick. I google kupata site yao. Download then burn kwenye cd kama iso image. Kisha boot kwa hiyo cd fuata maelekezo.
 
Du!, wabongo kwa laptop za wizi!. Memory ya bios iko kwenye cosmos battery hivyo
1. Lazima ipigwe spana kuifikia!.
2. Kama ni latest, imefungwa pia gprs chip, ukiiwasha tuu mwenye laptop yake ataiona!.
3. Kama ilipoibwa is "soiled!" siku ya siku yatakukuta!.
4. Hata kama haiko "soiled!" bado "karma" ya aliyeibiwa itakuandama!.
5. Na mwisho, kama ulivyoipata "easy come!", vivyo hivyo na kwako itaondoka "easy go!"
Pasco.

Naunga mkono hoja!!
 
Kuna software niliwahi kutumia once inaitwa pogostick. I google kupata site yao. Download then burn kwenye cd kama iso image. Kisha boot kwa hiyo cd fuata maelekezo.

bro unachanganya madesa. Utaboot na nini huku pc imefungwa Bios؟‎.
 
Back
Top Bottom