ipo hivi.... kuwa na forums nzuri zaidi ya JF ni rahisi sana, ila kupata kipato kama JF ni safari ya miaka zaidi ya ishirini(20).. zaidi ya 99% ya forums zilizoanzishwa kwa kufuata mkumbo wa JF zilikufa... JF kwenye search engine ipo vizuri sana na ndio kinachoibeba... kuwa na forums si chochote cha msingi ni page views(watembeleaji).. kuna site za hovyo ukiziangalia utakimbia ila zinaingiza page views zaidi ya 200,000 per day earning over 15,000$ per month..
((USHAURI))
Kabla ya kuanzisha hiyo forums jifunze jinsi ya kutafuta traffic kubwa, usipofanya hivyo utapoteza pesa yako bure, utakua na forum nzuri ila kipato kitakua less than 5$ per month....mark my comment..