Msaada: Kuplay nyimbo offline katika iphone

Msaada: Kuplay nyimbo offline katika iphone

Osama ashraf

Member
Joined
Jul 16, 2019
Posts
8
Reaction score
0
Jaman naomba msaan kuelekezwa kama kuna app au njia yeyote ambayo itanisaidia kuplay music bila kutumia data katika iphone
 
Download app inaitwa audiomack.....una download nyimbo ambazo unaeza sikiliza hata baadae!
 
Utaweza lakini kikawaida zinakaa kwenye app husika, na siku ukitoa hio App zenyewe nazo zinatoka, Kuna baadhi ya Apps Zina uwezo wa kusave kwenye folder la miziki la iPhone (Hata ukitoa hio app miziki itabaki) sema app za namna hii zinakuwa ni za muda tu maana hairuhusiwi kwa terms za Apple.

Jaribu moja inaitwa documents na developer wake ni readdle, Ina built in browser kwa ajili ya kudownload na file manager abilities kumove file Toka folder moja kwenda jengine.
 
Vipi ku download movies kwa iPhone
Utaweza lakini kikawaida zinakaa kwenye app husika, na siku ukitoa hio App zenyewe nazo zinatoka, Kuna baadhi ya Apps Zina uwezo wa kusave kwenye folder la miziki la iPhone (Hata ukitoa hio app miziki itabaki) sema app za namna hii zinakuwa ni za muda tu maana hairuhusiwi kwa terms za Apple.

Jaribu moja inaitwa documents na developer wake ni readdle, Ina built in browser kwa ajili ya kudownload na file manager abilities kumove file Toka folder moja kwenda jengine.
 
Vipi ku download movies kwa iPhone
Njia ni hio hio mkuu, tumia browser iliyopo ndani ya documents Halafu download movies unazotaka

Sema njia hii inabidi hizo movies ziwe na direct links, mfano udownload Toka openload ama utumie direct links nyengine.
 
Njia ni hio hio mkuu, tumia browser iliyopo ndani ya documents Halafu download movies unazotaka

Sema njia hii inabidi hizo movies ziwe na direct links, mfano udownload Toka openload ama utumie direct links nyengine.
bila kusahau ataangalizia humo humo.
 
Ukiondoa mfumo wa ulinzi ulio madhubuti iPhone hamna kitu kabisa.
 
Utaweza lakini kikawaida zinakaa kwenye app husika, na siku ukitoa hio App zenyewe nazo zinatoka, Kuna baadhi ya Apps Zina uwezo wa kusave kwenye folder la miziki la iPhone (Hata ukitoa hio app miziki itabaki) sema app za namna hii zinakuwa ni za muda tu maana hairuhusiwi kwa terms za Apple.

Jaribu moja inaitwa documents na developer wake ni readdle, Ina built in browser kwa ajili ya kudownload na file manager abilities kumove file Toka folder moja kwenda jengine.

Xukran kaka
 
Kama una PC tumia iTunes kuweka nyimbo kutoka kwenye PC
 
Nafanyaje fanyaje
Download app ya iTunes kisha install kwenye PC yako, utaipata kwenye website ya Apple au itafute kupitia Google utapata links za kui-download. Ukisha-install kwenye PC ifungue kisha connect waya kwenye iPhone yako na PC kwa kitumia waya wa kichajia. Baada ya hapo simu yako itasoma kwenye iTunes na utaona sehemu za photos, music, movies n.k. Chagua kama ni nyimbo utaingiza kwenye music, kama ni video kwenye movies. Ukishafanya hivyo fungua file lenye nyimbo kutoka kwenye PC yako alaf uta-select nyimbo kisha utazi-drag kuelekea kwenye iTunes (Music) nyimbo zitakopiwa na kuingia kwenye simu yako baada ya hapo utakuwa tayari umeweka nyimbo kwenye iPhone yako kwa matumizi ya offline. Kwa msaada zaidi pitia tutorials zipo YouTube zikionyesha kwa picha jinsi ya kufanya hivi ni rahisi sana.
 
Download app ya iTunes kisha install kwenye PC yako, utaipata kwenye website ya Apple au itafute kupitia Google utapata links za kui-download. Ukisha-install kwenye PC ifungue kisha connect waya kwenye iPhone yako na PC kwa kitumia waya wa kichajia. Baada ya hapo simu yako itasoma kwenye iTunes na utaona sehemu za photos, music, movies n.k. Chagua kama ni nyimbo utaingiza kwenye music, kama ni video kwenye movies. Ukishafanya hivyo fungua file lenye nyimbo kutoka kwenye PC yako alaf uta-select nyimbo kisha utazi-drag kuelekea kwenye iTunes (Music) nyimbo zitakopiwa na kuingia kwenye simu yako baada ya hapo utakuwa tayari umeweka nyimbo kwenye iPhone yako kwa matumizi ya offline. Kwa msaada zaidi pitia tutorials zipo YouTube zikionyesha kwa picha jinsi ya kufanya hivi ni rahisi sana.

Ngoja nijaribu
 
Back
Top Bottom