BwanaX
Senior Member
- Mar 5, 2015
- 123
- 46
Hi guys,
Naomba msaada; juzi nikiwa natembea kwa miguu maeneo ya Mwenge Sokoni nimedondosha funguo ya gari pamoja na ya ofisi. Mvua ilikuwa inanyesha sana.
Je, kuna mtu anayeweza nisaidia namna ya kupata funguo nyingine? Sina kopi yoyote ndani. Ni Toyota IST.
Asanteni.
Naomba msaada; juzi nikiwa natembea kwa miguu maeneo ya Mwenge Sokoni nimedondosha funguo ya gari pamoja na ya ofisi. Mvua ilikuwa inanyesha sana.
Je, kuna mtu anayeweza nisaidia namna ya kupata funguo nyingine? Sina kopi yoyote ndani. Ni Toyota IST.
Asanteni.