Msaada kupata dawa za PEP

Msaada kupata dawa za PEP

Habari Wana jf
Nipo apa kuomba msaada juu ya kupata dawa za PEP kwa apa dar es salam kwa siku ya leo
Ungekua Iringa ningekupatia Mapema Sana Kijana..Pole Sana Kijana
 
Uwe tayari kupima

Nenda hospitali ya karibu na wewe. Dawa ni bure. Ukishindwa kujieleza vizuri utatakiwa ukamlete uliyemuuzia mechi.

Kuwahi kwako ndo uhakika wa dawa kukusaidia. The sooner the better, japo protocol inasema ndani ya saa 72 baada ya biashara.
 
Habari Wana jf
Nipo apa kuomba msaada juu ya kupata dawa za PEP kwa apa dar es salam kwa siku ya leo
Hupewi PEP bila kupimwa ngwengwe Kwanza. Jiandae kisaikolojia, ukikutwa unayo bhaasi imeisha hiyooo unapewa referral kwenda kuanza ARVs hapo ndo mnakutana wengiiii kama club flan hv yaan full kuchoreshana, mpaka unajutaaa
 
Back
Top Bottom