Change your password, thats all. Fanya kama MasterMind alivyokuambia, make sure passworld yako inameet maximum complexity, iwe na namba, herufikumbwa na ndogo na alama kama @#$%^&* , shida yako ni common hasa kwa watumiaji wa hotmail na live, jamaa wamesumbuliwa sana na kila siku watu wanaibiwa passwd zao.