ISLETS
JF-Expert Member
- Dec 29, 2012
- 8,118
- 5,369
kasema RAM ni 512MB, ndogo sanaItakubali sema kama Ram ni less then two Gbs itakuwa nzito, pia kingine itasumbuliwa na drivers za sound and internet
kasema RAM ni 512MB, ndogo sanaItakubali sema kama Ram ni less then two Gbs itakuwa nzito, pia kingine itasumbuliwa na drivers za sound and internet
hautaikuta mkuu, labda kama kuna ufundi mwingine. Ila mi sijawahi ona hicho kitu, so itakulazimu kuzi install upya. kumbuka kufanya backup ya mafaili yako kabla ya kupiga windows ili yasipoteeAhsante hivi kweny xp ukishaiweka unaikuta na software kama Microsoft office zile au??
Hivi mfano my computer iko compatible with window xp afu nikaipiga window 7 au 8 itakubali au????
Yangu cio Pentium mkuu centrinoKompyuta chache sana za windows Xp zitakubali Windows 7 au 8 bila kubadilisha baadhi ya vitu...mara nyingi itakudibi uwe na ram zaidi ya 2gb na processor nzuri, ambapo sio rahisi kukuta pc za xp zikiwa hivyo.(nyingi ni pentium)
Pia ms office ni package tofauti kabisa, hii huwezi kuipata moja kwa moja na windows installation.
Yangu cio Pentium mkuu centrino
HDDs 250 gbsamahani, processor na hard disc zina ukubwa gani?
kuhusu microsoft office njia rahisi ni kuzifanyia back up