

Sasa mkuu ulikua unafanya application wakati hujui chochote kuhusu chuo na course zake?
Hivi vitu ni vyema mfanye mapema sana kabla hata ya kufanya application!
University of Iringa (UOI) Wako Vizuri Sana Kwa Hiyo Course ya BBA na hata kwa Course Nyingine katika Kitivo cha Biashara na Vitivyo Vingine Pia... Mimi Nimesoma UoI kwakweli wako vizuri Sana na ninajivunia sana Kuwa Alumni wa UoI.Wanajamii, msaada naomba kufahamu UoI (University of Iringa) ni chuo kizuri kwa course ya BBA?
Mikopo Inatoka Bila Utata Kabisa. Mikopo ya Bodi ya Mikopo Huwa Haijalishi Aina ya Chuo Anachosoma Mtu (Kiwe Private au Public University) Popote Pale Mtu anapata mkopo. Kikubwa ni Kutuma Maombi ya Kuomba Mkopo.Veep mkopo hua pia kwa hyo private university unatoka mkuu
Pamoja SanaShukran xn mkuu
Msomi jifunze kuandika vizuri bwana.Shukran xn mkuu
Ni Chuo kizur mim mwenyewe nasoma hapa na kama unahitaji Chumba mi ni dalali tuchekiane 0752092377Wanajamii, msaada naomba kufahamu UoI (University of Iringa) ni chuo kizuri kwa course ya BBA?
Tisha sana mwamba, bonge 1 la point!. Hii inabidi aichukue km point ya kujifunza ili next time wawe wanajpangaSasa mkuu ulikua unafanya application wakati hujui chochote kuhusu chuo na course zake?
Hivi vitu ni vyema mfanye mapema sana kabla hata ya kufanya application!
Unatishwa na kitu gani sasa hapo?kwan mtaan kwenu hakuna malaya?Mbn unantsha mkuu