Mambo vipi wadau
Nime print admission letter, tution fees Tsh 800,000
Direct cost 235,000
Mgawanyo upo vipi hapa tunaenda na pesa nusu kwa semista ya kwanza ambapo kwa tution fees ni laki nne au tunaenda nayo yote laki 8.
mambo vipi wadau
nime print admxxn leta tution fees tsh 800000
direct cost 235000
mgawanyo upo vipi hapa tunaenda na pexa nuxu kwa xemista y kwanza ambapo kwa tution fees n 4k au tunaenda nayo yotte lak 8
Pia nami naomba msaada kuna mdogo wangu kamaliza chuo mud a degree na hakupata kazi wanafamilia tuliamua kukaa na kumlipia asome MSC in chemistry kachaguliwa udom, amechukia ADM letter hawajaonyesha fee structure na mchanganuo wake kwa hiyo coz