capitalcity
Member
- Sep 9, 2017
- 40
- 35
Habari wana JF,
Kwa muda sasa huu ugonjwa unaniletea shida japo nimejaribu kutumia dawa mbali mbali za hospitali na za asili lakini bado kwa kiasi fulani hali sio nzuri.
Nataka kujua kama ipo dawa ambayo inaweza kutibu hili tatizo kwa asilimia 100, na Je, huu ugonjwa unatibika na kuisha kabisa au dawa nyingi zilizopo zinasaidia kutuliza tu mashambulizi na sio kutibu kabisa?
Kwa muda sasa huu ugonjwa unaniletea shida japo nimejaribu kutumia dawa mbali mbali za hospitali na za asili lakini bado kwa kiasi fulani hali sio nzuri.
Nataka kujua kama ipo dawa ambayo inaweza kutibu hili tatizo kwa asilimia 100, na Je, huu ugonjwa unatibika na kuisha kabisa au dawa nyingi zilizopo zinasaidia kutuliza tu mashambulizi na sio kutibu kabisa?