Kama nimekukwaza kwa lugha i take it back, ila usisahau nimekwambia unielezee pathophysiology ya arthritis mpaka sasa unahepa na kuniletea hadithi tu.
Unless you think wazungu ni watu wakujiropokea tu.
Ngoja nikwambie kitu kingine budget ya NHS kwa mwaka ni £176 billion. Kati ya hizo kama £40 billion zinatumika kuwa hudumia wagonjwa wanaoishi na long term medical conditions.
Huyu mgonjwa wetu angekuwa anaishi UK hizi ndio huduma ambazo angepata.
Pads za mikono, kiuno na miguu zinazoongeza hit kumpunguzia maumivu bure.
Kama awezi fanya kazi kwa mwezi angelipwa zaidi ya £1000
Kama anaishi mwenyewe angepewa carer wa kwenda kusafisha nyumba, kupika, kuosha, vyombo etc kama kaoa basi mkewe au mwanawe anaweza lipwa hiyo hela ya kufanya shughuli hiyo.
Therapy za physiology, gym, psychology and counselling ili aweze manage ugonjwa wake bure NHS inalipa.
Yaani mgonjwa mmoja anawa cost sana yote hayo ni kutokana na ‘medical social model theory’ namna sahihi ya kumtibia mgonjwa.
Sasa usidhani it’s not in their government interest kutumia hizo £40 billio sehemu zingine kama kwenye kuboresha shule, kujenga miundombinu, kuwekeza kwenye ulinzi and so forth ila hakuna namna kutokana na social demand on what’s the government ought to do.
So wakikwambia hawana dawa they mean it, na siku zote wanaangalia kama mtu mwingine anayo and how it works even if it’s unrefined. Trust me kama ipo sehemu wao wangekuwa wa kwanza kuiba na kuiboresha kwa mtindo wao.
Hivi unajua ata third eye intelligence (ulinzi wa ushirikina wa kutumia waganga, voyeurs, etc) wazungu ndio walikuwa wakwanza kuuweka kwenye system zao if they think a person has that powers.
Wakikwambia hakuna dawa hakuna mjomba, but they will have done anything for to manage the condition to reduce the risks of health deterioration.
Why so, it costs them a lot of money to care for long term conditions na mimi najuaje haya mambo
View attachment 2116788
Nimemfyatulia mtu report zote hizo ‘SHK0115 evidence based interventions’ option zilikuwa diabetes, arthritis or dementia.
Mwenyewe alitaka arthritis kwa sababu anailewa zaidi kupitia field work, mimi nikafanya diabetes because I was more comfortable.
Wewe unajiropokea tu.