Mkuu huna haja ya kununua mpya unless umepetaa tender ya Hotel au ofisini.
Maana kipindi hiki Dar zinauzwa bei ya chini sana kwa wamiliki wanaosoma alama za nyakati.
Bei ya Show room sio chini ya 45m long na 40 - 35 short.Hii ni kwa kuhangaika lakini,maana zipo hadi za 60m.