Msaada kuhusu Toyota Belta

Msaada kuhusu Toyota Belta

Abuu Kauthar

JF-Expert Member
Joined
Jul 10, 2011
Posts
4,499
Reaction score
6,898
Kuna jamaa yangu anataka kununua hii gari, ILA nimemwambia asubiri tupate ushauri kutoka kwa wataalam hapa JF.
Vipi hizi gari imara?? Zenyewe zina cc 1000 na 1300 sasa yeye ni mtu wa safari itamfaa?? Vipi kuhusu durability na comfortability?? Uimara na spea zake??

Msaada wataaalamu
 
Back
Top Bottom