migors
Member
- Oct 1, 2015
- 46
- 53
Habari za weekend wana JF
Nilikuwa nahitaji pikipiki iliyotumika mwezi uliopita, nikamuagiza jamaa yangu anitafutie maana yeye yupo DSM na mm nipo mkoan. Akanitaarifu Kuwa amepata na akaniambia bei nikamtumia akamalizana na tajiri( mwenye pikipiki). Ikabidi aniagizie kweli nikaipata na iko vizuri.
Shida ipo hapa, Namba ya usajili yaan plet namba ipo sawa na kwenye kadi, tatizo namba ya engine na chassis zimetofautiana na za kwenye kadi. Nimewasiliana na jamaa niliye muagiza anasema alinunua kwa mmiliki halali wa pikipiki.
Naomba mnisaidie kwa mnaofaham haya mambo. Je inaweza kutokea kadi ikatofautiana na chombo na kama inaweza tofautiana nifuate hatua gan ili nibadilishe. Kama haiwezekan nifanyeje. Nawasilisha
Sent using Jamii Forums mobile app
Nilikuwa nahitaji pikipiki iliyotumika mwezi uliopita, nikamuagiza jamaa yangu anitafutie maana yeye yupo DSM na mm nipo mkoan. Akanitaarifu Kuwa amepata na akaniambia bei nikamtumia akamalizana na tajiri( mwenye pikipiki). Ikabidi aniagizie kweli nikaipata na iko vizuri.
Shida ipo hapa, Namba ya usajili yaan plet namba ipo sawa na kwenye kadi, tatizo namba ya engine na chassis zimetofautiana na za kwenye kadi. Nimewasiliana na jamaa niliye muagiza anasema alinunua kwa mmiliki halali wa pikipiki.
Naomba mnisaidie kwa mnaofaham haya mambo. Je inaweza kutokea kadi ikatofautiana na chombo na kama inaweza tofautiana nifuate hatua gan ili nibadilishe. Kama haiwezekan nifanyeje. Nawasilisha
Sent using Jamii Forums mobile app