Wandugu naombeni msaada kuhussu tcu mimi nimesoma diploma ya community development na nimeomba kujiunga na vyuo,lakini nimeangalia kwenye profile yangu,selection status inaonyesha Not yet processed,wakati wenzagu wameshapata majibu,kwenye majibu ya wasiochaguliwa tcu sipo,waliokosea sipo,waliochaguliwa sipo nanimejaribu kuongea nao wakakiri kwamba sijachaguliwa lakini wanalishghulikia mpaka watu nimejaribu kuwatuma huko,lakini mpaka sasa hivi hakuna jibu linaloeleweka,Kiwango changu cha kufaulu ni upper second,nimjaribu kuomba second round wanajibu zimejaa,naombeni msaada nifanye nini?