Shida hawa wapuuzi wameandika internal storage 8gb uhakika haifiki, mimi nina tecno W4, internal memory wameandika 16gb ila nikaangalia kwa computer ina 676mb ambazo apps tu zinaijaza, shida ata external haiwez fanya kazi km internal haina running space, nimeweka external 16gb still bado inazingua aisei. Taabu kwelikweli.