Daaaa hilo ni. Darasa kabisa. Andaaa elfu kumi utanitumia mpesa nikupigie hata lisaa 1 nitakuelimisha tu1. Habari za humu jf. Nani anambie vizuri kabisa kuhusu maana ya android version na software na nn kazi zake ktk divice husika?
2.kitu gani kinapelekea simu kupata moto(kuchemka)wakati data on? Na nn tiba yake?
Thank you very much jf members!!!
Jaama yangu piga pindi malipo baadaeDaaaa hilo ni. Darasa kabisa. Andaaa elfu kumi utanitumia mpesa nikupigie hata lisaa 1 nitakuelimisha tu