MSAADA KUHUSU SMARTPHONE.

swag

Member
Nov 23, 2016
52
22
1. Habari za humu jf. Nani anambie vizuri kabisa kuhusu maana ya android version na software na nn kazi zake ktk divice husika?

2.kitu gani kinapelekea simu kupata moto(kuchemka)wakati data on? Na nn tiba yake?

Thank you very much jf members!!!
 
1. Habari za humu jf. Nani anambie vizuri kabisa kuhusu maana ya android version na software na nn kazi zake ktk divice husika?

2.kitu gani kinapelekea simu kupata moto(kuchemka)wakati data on? Na nn tiba yake?

Thank you very much jf members!!!
Daaaa hilo ni. Darasa kabisa. Andaaa elfu kumi utanitumia mpesa nikupigie hata lisaa 1 nitakuelimisha tu
 
Back
Top Bottom