S swag Member Joined Nov 23, 2016 Posts 52 Reaction score 22 Dec 27, 2016 #1 1. Habari za humu jf. Nani anambie vizuri kabisa kuhusu maana ya android version na software na nn kazi zake ktk divice husika? 2.kitu gani kinapelekea simu kupata moto(kuchemka)wakati data on? Na nn tiba yake? Thank you very much jf members!!!
1. Habari za humu jf. Nani anambie vizuri kabisa kuhusu maana ya android version na software na nn kazi zake ktk divice husika? 2.kitu gani kinapelekea simu kupata moto(kuchemka)wakati data on? Na nn tiba yake? Thank you very much jf members!!!
emmanuel mhecha JF-Expert Member Joined Jun 21, 2015 Posts 933 Reaction score 547 Dec 27, 2016 #2 swag said: 1. Habari za humu jf. Nani anambie vizuri kabisa kuhusu maana ya android version na software na nn kazi zake ktk divice husika? 2.kitu gani kinapelekea simu kupata moto(kuchemka)wakati data on? Na nn tiba yake? Thank you very much jf members!!! Click to expand... Daaaa hilo ni. Darasa kabisa. Andaaa elfu kumi utanitumia mpesa nikupigie hata lisaa 1 nitakuelimisha tu
swag said: 1. Habari za humu jf. Nani anambie vizuri kabisa kuhusu maana ya android version na software na nn kazi zake ktk divice husika? 2.kitu gani kinapelekea simu kupata moto(kuchemka)wakati data on? Na nn tiba yake? Thank you very much jf members!!! Click to expand... Daaaa hilo ni. Darasa kabisa. Andaaa elfu kumi utanitumia mpesa nikupigie hata lisaa 1 nitakuelimisha tu
S swag Member Joined Nov 23, 2016 Posts 52 Reaction score 22 Dec 27, 2016 Thread starter #3 emmanuel mhecha said: Daaaa hilo ni. Darasa kabisa. Andaaa elfu kumi utanitumia mpesa nikupigie hata lisaa 1 nitakuelimisha tu Click to expand... Jaama yangu piga pindi malipo baadae
emmanuel mhecha said: Daaaa hilo ni. Darasa kabisa. Andaaa elfu kumi utanitumia mpesa nikupigie hata lisaa 1 nitakuelimisha tu Click to expand... Jaama yangu piga pindi malipo baadae
moghasa JF-Expert Member Joined May 7, 2013 Posts 1,084 Reaction score 1,254 Dec 27, 2016 #4 Invisible