Kikubwa ni Privacy. Signal hailink data zozote na wewe. Data pekee inayochukuliwa na Signal ni Contact info tu. Telegram pia inachukua contact info tu lakini wengine wanachukua info nyingi. Kimsingi signal iko secure na inajali zaidi privacy yako kwa kutochukua data zozoteNaiskia hata Mimi ila sijawahi kujaribu ngoja wajuzi waje??
Je itakua bora kuliko tele na what's app?