balwani
Member
- Jan 8, 2019
- 34
- 20
Poleni kwa majukumu wakuu
Nimefungua akaunti NMB chapchap, nimeenda kwa wakala leo kuweka pesa wameniambia huweza kuweka pesa kwa namba ya simu na wakati wamenipa namba ya simu iwe kama akaunti yangu.
Je hii hudumu nitaweza kuwa na kadi kama akaunti nyengine na je nitapewa namba ya kawaida badala ya hii ya simu?
Ni hayo tu wakuu, poleni kwa majukumu.
Nimefungua akaunti NMB chapchap, nimeenda kwa wakala leo kuweka pesa wameniambia huweza kuweka pesa kwa namba ya simu na wakati wamenipa namba ya simu iwe kama akaunti yangu.
Je hii hudumu nitaweza kuwa na kadi kama akaunti nyengine na je nitapewa namba ya kawaida badala ya hii ya simu?
Ni hayo tu wakuu, poleni kwa majukumu.