Course za afya mkopo upo sema mwisho wa ada ni 3100000 ndo unalipiwa na serikali kama ukipata asilimia mia
course za afya wanapewa upendeleo sana,me bi mkubwa wangu anasoma bugando lakini amepata mkopo asilimia mia,na yeye ni mfanyakazi
Mkopo ni bahati angalia usije ahirisha mwaka
Mkuu inategemea, mkopo ni bahati ya mtu but kwa private ata ukipewa 100% utaongezea kiasi cha pesa bcouz asilimia mia wanatoa kwa range ya vyuo vya serikali