Uwa ni 10% ya mapato ya halmashauri yanatengwa kwa ajili ya mkopo ambao hauna riba kwa vijana, wanawake na walemavu, hili kuweza kupata mkopo lazima muwe kikundi cha watu 5-10 na wazo la biashara pia umri kwa wanaume ni chini ya miaka 35 kama sijakosea hila wanawake akuna limit ya umri, ili kuweza kupata nenda ofisi za kata muone afisa maendeleo atakupa maelezo na utaratibu wa jinsi ya kupata mkopo hiyo