Msaada kuhusu mkopo wa elimu yajuu

Msaada kuhusu mkopo wa elimu yajuu

wangewange

Senior Member
Joined
Oct 4, 2013
Posts
189
Reaction score
43
Habari wana jf ,ningeomba kujua kama mtu uli disco chuo na ulikuwa na mkopo ,una kaa muda gan kuomba tena mkopo na chuo? Na je taratibu za mkopo zinakuwaje na chuo unaomba tena? .ahsanteni
 
Habari wana jf ,ningeomba kujua kama mtu uli disco chuo na ulikuwa na mkopo ,una kaa muda gan kuomba tena mkopo na chuo? Na je taratibu za mkopo zinakuwaje na chuo unaomba tena? .ahsanteni
Unalipia 25% ya mkopo wako ulotumia den unafanya application upya.... Kwenye kupata apo bahati nasibu lolote laweza kutokea
 
Back
Top Bottom