Naitwa Benjamin Samwel ni mhtmu kdato cha sita 2016, naomba kufaham lin application za mkopo wa elimu ya juu zitaanza na mwisho ni lini, pia naomba msaada kuhusu namna ya kuapply, vtu vnavyohtajka kwenye mkopo huo.
MSAADA WENU TAFADHALI!
Ninachokiuliza nafaham kilivyo miaka mingi sasa mkopo unaombwa kabla ya matokeo ukisubr matokeo yatoke uwe tayar kwenda chuo mwaka ujao!
KUWA MUELEWA!!
Naitwa Benjamin Samwel ni mhtmu kdato cha sita 2016, naomba kufaham lin application za mkopo wa elimu ya juu zitaanza na mwisho ni lini, pia naomba msaada kuhusu namna ya kuapply, vtu vnavyohtajka kwenye mkopo huo.
MSAADA WENU TAFADHALI!
Jenga urafiki na www.heslb.go.tz kwa lolote linalohusu mkopo na www.tcu.go.tz kwa lolote lile linalohusu kuomba chuo kwa wewe kidato cha sita.
Kila la heri jeshini na kwenye matokeo ya mitihani yako.