MSAADA KUHUSU MKOPO HELSB

Tripp

JF-Expert Member
Joined
Feb 2, 2018
Posts
912
Reaction score
1,572
Mimi nina ndugu yangu alifaulu na akapata chuo awamu ya kwanza ila baada ya kutuma maombi ya mkopo kumbe jina lake lilikuwepo katika waliokosea ila alipuuza ama kutojua na sasa amekuja jua juzi kuwa alitakiwa rekebisha fomu kuna namna gani hapo ya kumsaidia akuweka sahihi tu
 
Mwambie afungue akaunti yake arekebishe sasa hivi kipengele cha tatu
 
Afanye appeal
 
Mkuu hatua za kuapeal zipoje maana mdogo wangu aliomba yeye hakukosea ila jina lake halijatokea lakin kuna attachment alisahau ya kitambulisho cha TASAF sababu wazazi hawana uwezo kabisa wa kumsomesha
Afanye appeal
 
Mkuu hatua za kuapeal zipoje maana mdogo wangu aliomba yeye hakukosea ila jina lake halijatokea lakin kuna attachment alisahau ya kitambulisho cha TASAF sababu wazazi hawana uwezo kabisa wa kumsomesha
Chuo alipata round IPI?
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…