mwenye shamba
JF-Expert Member
- May 31, 2015
- 978
- 1,763
Vipi kuhusu asilla f1?
nami nahitaji mbegu za nyanya mkuu yaani hizo zilizoboraKaribu sana ,mimi niko sevia ni mradi wa kilimo feel free kuniconsult any time ndugu yangu
Nenda kawaone baltony wako mwenge karibu na tumain university ni waisrael bila Shaka utapata F1.nami nahitaji mbegu za nyanya mkuu yaani hizo zilizobora
Wengi sana wanazo kuna east west seed,kuna rijk zwaan ,wewe uko wapi kwani !?nami nahitaji mbegu za nyanya mkuu yaani hizo zilizobora
Asila iko vzr inachanua vema wakati wa kiangazi, ila mavuno yake ni machacheVipi kuhusu asilla f1?
Inaweza kupanda heka...ngapi...hii
Eden inataka matunzo tangu kitaluni, na maji kwa ratiba iliyonyooka. Wakati wa joto asila haisumbui ila uzao wake ni mdogo ukilinganisha na edenKwangu mm eden haikufanya vizur kwanza ina nafas katikati pia ilishambuliwa sana na ugojwa wa kuoza kikonyo tatu ilikua nikichuma kama haijaiva vizuri nikisema nivundike inaoza ila kwa asila ilifanya vizur saana
mkuu kwa jitihada zako...nimefanikiwa kuanzisha bustani yangu...hapo nilikuwa nafanya maandalizi...ila niliamua kununua miche...kukimbizana na hali ya mvua iliyopo...dar...muda huuEden inataka matunzo tangu kitaluni, na maji kwa ratiba iliyonyooka. Wakati wa joto asila haisumbui ila uzao wake ni mdogo ukilinganisha na eden
Mkuu asante sana...leo nimeanza rasmi harakati za kuandaa shamba...ila ni kama ki bustani...kwa mbegu nimenunua miche ili kukimbizana na hali ya mvua iliyopo dar...kipindi hikiHii itakuongoza zaidi ,itumie vyema na ukiwa na swali ni consult
miche umenunua wapi, mmoja kiasi gani na ni ya aina gani ~asila, anna.. ?Mkuu asante sana...leo nimeanza rasmi harakati za kuandaa shamba...ila ni kama ki bustani...kwa mbegu nimenunua miche ili kukimbizana na hali ya mvua iliyopo dar...kipindi hiki
Kwa mujibu wa aliyeniuzia anasema hii mbegu inaitwa f1 fupi...kila mche ameniuzia shilingi...144/= nipo dar...ila nimelazimika kwa tabu kusafiri kutoka hapa kwenda bagamoyo...kununua hiyo...miche...nimeanza na miche 700miche umenunua wapi, mmoja kiasi gani na ni ya aina gani ~asila, anna.. ?
Jomba kama unaweza kwenda sokoni nenda kachague nyanya mshumaa zilizoiva vizuri kisha toa mbegu zikaushe na usie mwenyewe nilikua nanunua mbegu lkn aina ya mbegu ni tofauti na iliyoandikwa kwa packet na zakununua madukani nyingi zinaota kabla hujaamisha znakauka kiuno...tengeneza mbegu peke yako znaota vizuri tuu ukipata nyanya nzuriwakuu, naomba kuuliza hivi nikichukua nyanya kisha nikatoa mbegu zake nikazipanda zitaweza kunipa mazao? maana huku nilipo uwezekano wa kupata mbegu ni mdogo..
Mkuu labda umenunua kwenye chanzo kisicho jurikana...ila wapo wauzaji wa mbegu wazuri...Jomba kama unaweza kwenda sokoni nenda kachague nyanya mshumaa zilizoiva vizuri kisha toa mbegu zikaushe na usie mwenyewe nilikua nanunua mbegu lkn aina ya mbegu ni tofauti na iliyoandikwa kwa packet na zakununua madukani nyingi zinaota kabla hujaamisha znakauka kiuno...tengeneza mbegu peke yako znaota vizuri tuu ukipata nyanya nzuri