Ndugu wa JF family naomba kuelezwa kuhusu ulipaji wa hostel km Heslb wanahusika au hapna,maana cc wa mabbo tunatakiwa kulipa 73k,je mkopo ukitoka hyo hela inakuwepo au hapana,
Unapoenda kulipoti chuo lazima uandae pesa kwaajili ya Hostel na chakula, pia pesa ya Registration kutegemea na mahitaji au maelekezo ya chuo chako.
Hiyo unayopewa na HESLB utapatiwa baada ya wewe kuwa umesajiliwa kuwa mwanafunzi rasmi wa chuo ndipo chuo kinatuma majina yenu HESLB ili wawaletee hela.
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.