Jaman m nko admitted DUCE na nmepewa mil. 3.1 mkopo ila fee n mil. 1.3,ambayo n kama asilimia 57.9 hv!! Sasa hicho kiasi kinachobaki tunatakiwa kuwa nacho wakati wa kuripot au tutakipeleka semster Ya II?? Naomba msaada wa maelekezo juu ya hilo wanajamvi!
unatakiwa kulipia either chote au kwa kila semester unalipia nusu...eg.unaweza kulipa 300,000 yote au kulipa 1st semester 150,000 then 2nd semester umalizie 150,000...
unatakiwa kulipia either chote au kwa kila semester unalipia nusu...eg.unaweza kulipa 300,000 yote au kulipa 1st semester 150,000 then 2nd semester umalizie 150,000...