Msaada kuhusu kupima DNA

Bikra wapo now days
 
Wewe lea mtoto hadi pale itakapothibishwa vinginevyo. Kwani unatumia milioni ngapi? mtoto kazaliwa ndani ya malango yako unataka akalelewe na nani? Hata DNA huna haja ya kupima, fanya kadri ya uwezavyo na hutokuwa na cha kupoteza.
Duu
 
Ushauri mzuri sana,ila Wanawake wengine Wana maudhi!
 

Similar Discussions

Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…