Msaada kuhusu kozi ya Clinical Officer

Msaada kuhusu kozi ya Clinical Officer

habari zenu wakuu wa education forum..
nimemaliza masomo yangu ya shahada ya kwanza ya IT ila ninapenda kujiunga na masomo ya clinical officer.. mwenye taarifa ya vigezo vinavyohitajika anisaidie tafadhali.. advance nilisoma PGM
Yan una degree unataka ukasomee diploma tena??? Kwanini usiende mastaz ya degree yako??
 
Binafsi nilisoma Healthcare,nakushauri usonge mbele na masters,fursa zipo kama upo competent,altenative Fanya masomo yatakayokupa professionalism,i.e.masomo ya IT yanayoweza kukutofautisha.Swala la MTU una degree alafu unarudi diploma haliingii kichwani!
 
Binafsi nilisoma Healthcare,nakushauri usonge mbele na masters,fursa zipo kama upo competent,altenative Fanya masomo yatakayokupa professionalism,i.e.masomo ya IT yanayoweza kukutofautisha.Swala la MTU una degree alafu unarudi diploma haliingii kichwani!
mkuu ndo maana sijafanya maamuzi kabla kupata mawazo ya wakubwa wenzangu.. em nadokeze kidogo ugumu mnaopata huko niweze kufanya maamuzi sahihi..!
 
Yan una degree unataka ukasomee diploma tena??? Kwanini usiende mastaz ya degree yako??
IT nimesoma vizuri ila nimejikuta kupenda kuwa mtu wa afya hivyo nataka nisome huku nafanya kazi mkuu... au kuna kaugumu hapo!
 
Naomba nimuulize mtoa thread umeshawishika nn kusoma diploma afya wakati umemaliza degree naomba nidokeze maana nilikuwa nataka kusoma IT au unaongeza CV tu????
hamna shida mkuu we njoo usome tu IT haina matatizo.. ila uwe na kichwa kizuri kwenye kumeza code.. yaan programming languages zote.. kwangu nimependa tu kuhamia afya japo sio haraka haraka mpaka nichanganue mawazo ya wakuu kwanza!
 
Back
Top Bottom