Msaada kuhusu kozi ya Clinical Officer

Msaada kuhusu kozi ya Clinical Officer

The End..

JF-Expert Member
Joined
Aug 13, 2013
Posts
4,362
Reaction score
3,846
habari zenu wakuu wa education forum..
nimemaliza masomo yangu ya shahada ya kwanza ya IT ila ninapenda kujiunga na masomo ya clinical officer.. mwenye taarifa ya vigezo vinavyohitajika anisaidie tafadhali.. advance nilisoma PGM
 
naomba nifahamu kidogo.. kwann inakuwa certificate na siyo diploma!
Diploma lazima use na C,chemistry, C,biology na D,physics na zaidi but unaweza soma certificate miaka miwili then unaunga diploma mwaka mmoja
 
Utaanza kusoma certificate of clinical officer lakini ni mwakani now application wamefunga
kaka nikurekebishe kidogo hakuna certfcate in clinical officer,ila kuna cert in clinical medicine.
clinical officer ni cheo kutoka ktk diploma na clinical assistant ni cheo kimetoka ktk certfcate
 
kaka nikurekebishe kidogo hakuna certfcate in clinical officer,ila kuna cert in clinical medicine.
clinical officer ni cheo kutoka ktk diploma na clinical assistant ni cheo kimetoka ktk certfcate
ila maelekezo mengine ni sawa mkuu au una nyongeza kidogo unipe mwanga!
 
Naomba nimuulize mtoa thread umeshawishika nn kusoma diploma afya wakati umemaliza degree naomba nidokeze maana nilikuwa nataka kusoma IT au unaongeza CV tu????
 
ila maelekezo mengine ni sawa mkuu au una nyongeza kidogo unipe mwanga!
cha kukushauri fanya mpango uende nacte ukawaombe wakupangie vyuo vyenye nafasi usisubiri udahili wa mwakani cz utapoteza muda bure.
Lakini watakusumbua sumbua kidogo watakuuliza kwanini ulichelewa kufanya maombi itakubidi uwape sababu za kiutu uzima
 
habari zenu wakuu wa education forum..
nimemaliza masomo yangu ya shahada ya kwanza ya IT ila ninapenda kujiunga na masomo ya clinical officer.. mwenye taarifa ya vigezo vinavyohitajika anisaidie tafadhali.. advance nilisoma PGM
Kwanini usitafute ajira??
 
Siamini unachotaka kufanya, una degree ya IT then unataka kurudi kukimbizana na vidiploma tena
 
Siamini unachotaka kufanya, una degree ya IT then unataka kurudi kukimbizana na vidiploma tena
mbona watu wenye degree za civil wamekaa kitaa miaka mitatu kisha wakaamua kusoma hiz mambo ..usimshangae huyu wa IT
 
Back
Top Bottom