Msaada kuhusu Kiss FM

Msaada kuhusu Kiss FM

ericford

JF-Expert Member
Joined
Jul 15, 2014
Posts
265
Reaction score
68
wakuu msaada mwenye kujua frequency za kiss fm kwa mkoa wa njombe...naombeni ushirikiano wenu
 
Subiri waje. Mi nomewatafuta ktk tunein online rfa nimewakosa!!
 
Dialo amefwafwanzika sasa hivi, kiss fm haipatikani mkuu ni frequence moja na Iringa ni 88.9
 
wakuu msaada mwenye kujua frequency za kiss fm kwa mkoa wa njombe...naombeni ushirikiano wenu

Hii radio nafikiri imekufa, Dar ilikuwa inashika 89.3, lakini frequency hiyo sasa inasikika radio moja inaitwa Free Africa!
 
Hii radio nafikiri imekufa, Dar ilikuwa inashika 89.3, lakini frequency hiyo sasa inasikika radio moja inaitwa Free Africa!

Free Africa na Kiss FM ni wapo kampuni moja, wamebdilishana frequency ulipokua unapata RFA kwa sasa wapo Kiss FM, hiyo ni kwa Dar.
 
Free Africa na Kiss FM ni wapo kampuni moja, wamebdilishana frequency ulipokua unapata RFA kwa sasa wapo Kiss FM, hiyo ni kwa Dar.

Ok mm sisikilizagi kwa maana vipindi vyao hawaendi na wakati, nafikiri ni vile wako Mwanza😱
 
Sikilizeni Classic 105 fm Nairobi iko poa sana,mi niko Shy nawapenda sana kwa vile kissfm siwapati.Hizi redio za kibongo bado wako kianalogia zaidi
 
nakumbuka enzi za Joaquim Munga Lugulu (jml), John Kalani, Dj Malis, Dj Jeff Jerry, Dee Seven, Bushbaby, binti wa kiganda it was the best radio station
 
nakumbuka enzi za Joaquim Munga Lugulu (jml), John Kalani, Dj Malis, Dj Jeff Jerry, Dee Seven, Bushbaby, binti wa kiganda it was the best radio station

really its among of the best radio station on ma side and i do appreciate it keep it in kiss fm
 
nakumbuka enzi za Joaquim Munga Lugulu (jml), John Kalani, Dj Malis, Dj Jeff Jerry, Dee Seven, Bushbaby, binti wa kiganda it was the best radio station

Dj malis na Dee 7 bado wapo pale pamoja na yule dada Shalubano kama nimeandika vizuri.
 
Back
Top Bottom