Msaada, kuhusu JKT

Msaada, kuhusu JKT

tibmanzenjj

Member
Joined
Feb 26, 2014
Posts
18
Reaction score
4
Vp hali wanajukwaa ? ningependa kujua hivi kuna uwezekano kwa mtu kurudi uraiani baada ya kumallza mkataba wake na jkt , ikiiwa mtu huyo ana elimu ya diploma Au degree ?
 
Vp hali wanajukwaa ? ningependa kujua hivi kuna uwezekano kwa mtu kurudi uraiani baada ya kumallza mkataba wake na jkt , ikiiwa mtu huyo ana elimu ya diploma Au degree ?

yap kk inawezekana kabisa labda uongezew mkataba
 
kwani nafasi za kujiunga na JKT kwa mwaka huu zinatoka lini kwa anaye jua?
 
Back
Top Bottom