Msaada kuhusu 'invoice' za DAWASCO

Baba Watoto

JF-Expert Member
Dec 21, 2010
393
278
Wanajamvi habari za wakati huu,

Baada ya purukushani za kama miaka miwili hivi baada ya kujaza fomu ya kuomba kuunganishiwa huduma ya maji katika kibanda changu maeneo ya kibamba, (muda mrefu ni uzembe wangu kwa kuwa mama watoto alinisaidia kuficha fomu ikawa haionekani).

Hili tangazo la maji kuunanishwa kwa laki mbili lilifufua matumaini yangu kuwa na mimi nitakua na maji mjengoni basi nikabeba fomu yangu na kwenda ofisi zao, kwanza nikaambiwa ile haifai tena nijaze upya fomu, kwa kutumia technical know-who nikafanikiwa kuondoka na mafundi wao kwenda kufanya survey ambapo zilipatikana mita 270 toka bomba la kuunganishia, sasa maajabu ni hiyo bei niliyoambiwa kuwa natakiwa nitoe milioni mbili ili maji yaweze kuwepo hapo mjengoni.

Nikahoji vipi kuhusu laki mbili? Jibu ni kwamba laki mbili nikwa wateja wale walioko mita 20 toka bomba lilipo, na kwamba hapo kwangu gharama ya vifaa peke yake ni kama TZS 1.6 M, nina wasiwasi na makadirio haya kama kuna mtu anajua jinsi wanavyofanya au ameunganisha maji hivi karibuni.

Wakati huo huo naanza kufikiria kuchimba kisima aseee.

Nawasilisha.
 
Makubwa haya fedha zote hizo.Nenda kamuone meneja wa kanda yako atakusaidia kupata ufafanuzi.
 
Makubwa haya fedha zote hizo.Nenda kamuone meneja wa kanda yako atakusaidia kupata ufafanuzi.


Nashukuru ndugu yangu kwanza nimeona nipate maoni ya wadau maana na kazi zetu za wahindi hizi kupata muda ni shida baada ya hao nitege siku moja niende asee
 
Mi n
Wanajamvi habari za wakati huu,

Baada ya purukushani za kama miaka miwili hivi baada ya kujaza fomu ya kuomba kuunganishiwa huduma ya maji katika kibanda changu maeneo ya kibamba, (muda mrefu ni uzembe wangu kwa kuwa mama watoto alinisaidia kuficha fomu ikawa haionekani).

Hili tangazo la maji kuunanishwa kwa laki mbili lilifufua matumaini yangu kuwa na mimi nitakua na maji mjengoni basi nikabeba fomu yangu na kwenda ofisi zao, kwanza nikaambiwa ile haifai tena nijaze upya fomu, kwa kutumia technical know-who nikafanikiwa kuondoka na mafundi wao kwenda kufanya survey ambapo zilipatikana mita 270 toka bomba la kuunganishia, sasa maajabu ni hiyo bei niliyoambiwa kuwa natakiwa nitoe milioni mbili ili maji yaweze kuwepo hapo mjengoni.

Nikahoji vipi kuhusu laki mbili? Jibu ni kwamba laki mbili nikwa wateja wale walioko mita 20 toka bomba lilipo, na kwamba hapo kwangu gharama ya vifaa peke yake ni kama TZS 1.6 M, nina wasiwasi na makadirio haya kama kuna mtu anajua jinsi wanavyofanya au ameunganisha maji hivi karibuni.

Wakati huo huo naanza kufikiria kuchimba kisima aseee.

Nawasilisha.[/QUOTE


Mi nimevuta 2month ago kwangu, palikuwa na urefu wa mita Mia na hamsini (MTR 150),nililipa laki nane na elfu tano
 
Wanajamvi habari za wakati huu,

Baada ya purukushani za kama miaka miwili hivi baada ya kujaza fomu ya kuomba kuunganishiwa huduma ya maji katika kibanda changu maeneo ya kibamba, (muda mrefu ni uzembe wangu kwa kuwa mama watoto alinisaidia kuficha fomu ikawa haionekani).

Hili tangazo la maji kuunanishwa kwa laki mbili lilifufua matumaini yangu kuwa na mimi nitakua na maji mjengoni basi nikabeba fomu yangu na kwenda ofisi zao, kwanza nikaambiwa ile haifai tena nijaze upya fomu, kwa kutumia technical know-who nikafanikiwa kuondoka na mafundi wao kwenda kufanya survey ambapo zilipatikana mita 270 toka bomba la kuunganishia, sasa maajabu ni hiyo bei niliyoambiwa kuwa natakiwa nitoe milioni mbili ili maji yaweze kuwepo hapo mjengoni.

Nikahoji vipi kuhusu laki mbili? Jibu ni kwamba laki mbili nikwa wateja wale walioko mita 20 toka bomba lilipo, na kwamba hapo kwangu gharama ya vifaa peke yake ni kama TZS 1.6 M, nina wasiwasi na makadirio haya kama kuna mtu anajua jinsi wanavyofanya au ameunganisha maji hivi karibuni.

Wakati huo huo naanza kufikiria kuchimba kisima aseee.

Nawasilisha.
Mkuu

1. je wamekupa invoice with signatures za (surveyor, Engineer na Manager) na ina muhuri wa manager wa eneo?

2. Kama hakuna hizo issue hapo juu basi piga hodi kwa Meneja wa eneo lako, ulipowachukua hao surveyors.
 
Wanajamvi habari za wakati huu,

Baada ya purukushani za kama miaka miwili hivi baada ya kujaza fomu ya kuomba kuunganishiwa huduma ya
maji katika kibanda changu maeneo ya kibamba, (muda mrefu ni uzembe wangu kwa kuwa mama watoto alinisaidia kuficha fomu ikawa haionekani).

Hili tangazo la maji kuunanishwa kwa laki mbili lilifufua matumaini yangu kuwa na mimi nitakua na maji mjengoni basi nikabeba fomu yangu na kwenda ofisi zao, kwanza nikaambiwa ile haifai tena nijaze upya fomu, kwa kutumia technical know-who nikafanikiwa kuondoka na mafundi wao kwenda kufanya survey ambapo zilipatikana mita 270 toka bomba la kuunganishia, sasa maajabu ni hiyo bei niliyoambiwa kuwa natakiwa nitoe milioni mbili ili maji yaweze kuwepo hapo mjengoni.

Nikahoji vipi kuhusu laki mbili? Jibu ni kwamba laki mbili nikwa wateja wale walioko mita 20 toka bomba lilipo, na kwamba hapo kwangu gharama ya vifaa peke yake ni kama TZS 1.6 M, nina wasiwasi na makadirio haya kama kuna mtu anajua jinsi wanavyofanya au ameunganisha maji hivi karibuni.

Wakati huo huo naanza kufikiria kuchimba kisima aseee.

Nawasilisha.
 
Mkuu

1. je wamekupa invoice with signatures za (surveyor, Engineer na Manager) na ina muhuri wa manager wa eneo?

2. Kama hakuna hizo issue hapo juu basi piga hodi kwa Meneja wa eneo lako, ulipowachukua hao surveyors.

Mkuu, baada ya Surveyor kupima akasema naenda kuandaa invoice, sasa ndio kanipigia simu akinipa hiyo bei, labda sasa niende kabisaa niangalie hiyo invoice kabisaa. hilo ni wazo jema kabisaa. Wasiwasi wangu meneja nae asiwe akawa ana mgawo wake, kiasi vinawekwa vitu hapo kisha inaprintiwa, yaani inayokaa kwenye jalada ni nyingine na unayopewa wewe ni nyingine kabisaaaaaaaaaaa
 
Mkuu, baada ya Surveyor kupima akasema naenda kuandaa invoice, sasa ndio kanipigia simu akinipa hiyo bei, labda sasa niende kabisaa niangalie hiyo invoice kabisaa. hilo ni wazo jema kabisaa. Wasiwasi wangu meneja nae asiwe akawa ana mgawo wake, kiasi vinawekwa vitu hapo kisha inaprintiwa, yaani inayokaa kwenye jalada ni nyingine na unayopewa wewe ni nyingine kabisaaaaaaaaaaa
Swali lingine je umeomba bomba la ukubwa gani? Kama ni nchi 1.5 - 2 hio bei inaweza kuwa sawa ila kama ni robo 3 bei haiwezi zidi laki 4, and kwa matumizi binafsi huwezi pewa bomba la ukubwa wa 1.5 au zaidi unless iwe deal.
 
Swali lingine je umeomba bomba la ukubwa gani? Kama ni nchi 1.5 - 2 hio bei inaweza kuwa sawa ila kama ni robo 3 bei haiwezi zidi laki 4, and kwa matumizi binafsi huwezi pewa bomba la ukubwa wa 1.5 au zaidi unless iwe deal.


Hiyo ya ukubwa wa bomba ki ukweli sijui, ni point nitaenda nayo nikibisha hodi kwa meneja.
 
  • Thanks
Reactions: bdo
nijuavyo mimi kama sharia haijabadilika maji unapewa withing 200m umbali na kituo cha maji kilipo. Ikizidi hapa inabidi usubiri mpaka kuwe na kituo kingine. Kituo kipya huwekwa wateja wakiwa si chini ya 40.
Labda kama haya yamebadilika.
Kama ndivyo basi uwe mwangalifu ukienda kwa Manager, usije kosa kabisa hasa akijua una 270m. Ila mafundi huchakachua na kuripoti ofisini kua uko within the required metres japo umpooze kidogo. vyema kabla hujakurupuka fanya uchunguzi kwanza.
 
nijuavyo mimi kama sharia haijabadilika maji unapewa withing 200m umbali na kituo cha maji kilipo. Ikizidi hapa inabidi usubiri mpaka kuwe na kituo kingine. Kituo kipya huwekwa wateja wakiwa si chini ya 40.
Labda kama haya yamebadilika.
Kama ndivyo basi uwe mwangalifu ukienda kwa Manager, usije kosa kabisa hasa akijua una 270m. Ila mafundi huchakachua na kuripoti ofisini kua uko within the required metres japo umpooze kidogo. vyema kabla hujakurupuka fanya uchunguzi kwanza.


Asante sana, hilo nalo neno atiii
 
Back
Top Bottom