Naombeni jamani mnidokeze maswali ambayo anawezwa akauliza human resource kwa upande wa intervew ya kuandika. kwani ni mara yangu ya kwanza kuitwa kwa intervew na sina idea.. asanteni.
Kikubwa hapo ujue huyo hr ni nani na kazi zake,lakini hyo ni general,ila kikubwa kama ni ya kuandka huwa maswal ya kupima uelewa wa mtu sn ni maswali madogo dogo ya uelewa wako sanasana.
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.