Msaada kuhusu hp spectre 360x laptop

Msaada kuhusu hp spectre 360x laptop

WanaJF nisaidieni kwa hili, nilikua natafuta hii laptop HP SPECTRE 360X yenye specifications hizi:
na nmejaribu kuangalia wauzaji nmekutana na mkanganyiko mana Bei yake inakua 1.8 M wengine 2 M .

Kuna muuzaji nmekutana nae naye anauza laptop hiyo japo specification zmetofautiana kidogo yeye ina 2GB Nvidia GeForce graphics card, Inch 15.6, Touch Screen, Core i7, Ram 8GB, SSD 250.

Yeye anauza 900,000 ni Refurb. Wauzaj wengi hazina NVIDIA GEFORCE GRAPHICS CARD na pia ni Core i5,
Naomben msaada kwa mwenye uzoefu nisije nikapigwa hapa kwanini huyu muuzaji bei yake imekua ndogo sana. View attachment 1827083View attachment 1827084
Unaitaka yenye specification zipi mkuu mie tupange bei hapa ninune niitume ikifika unakagua na kulipa
 
Mkuu laptop moja ina specification tofauti tofauti, hakuna laptop yenye specs moja.

Pia ni vyema ujue actual specification mtu kukwambia tu Nvidia 2gb ni kuingizana chaka, inaweza kuwa ni low end dedicated gpu inayopitwa nguvu na gpu za ndani.

Pia kama wadau huko juu walivyo Sema usinunue kitu kibongo bongo kwa kutuma pesa.
Mkuu naomba msaada kati ya laptop hizi..

1. HP pavilion ( PROcessor core i7 1165g7u, RAM 16GB, 512 GB SSD, Intel iRISx Graphics)

2. Lenovo yoga ( PROcessor core i7 10510u, RAM 12GB, 512 GB SSD)

3. Dell inspiron ( PROcessor core i7 1065g7, RAM 12GB, 512 GB SSD)

Nataka nichukue moja wapo naomba muongozo mkuu!

NB: Nimesoma online wanasema pavilion zinazingua so nikaona nikuombe mawazo yako kama ni kweli na pia juu hizo options tatu ipi itanifaa kwa matumizi ya kazi za engineering...
 
Mkuu naomba msaada kati ya laptop hizi..

1. HP pavilion ( PROcessor core i7 1165g7u, RAM 16GB, 512 GB SSD, Intel iRISx Graphics)

2. Lenovo yoga ( PROcessor core i7 10510u, RAM 12GB, 512 GB SSD)

3. Dell inspiron ( PROcessor core i7 1065g7, RAM 12GB, 512 GB SSD)

Nataka nichukue moja wapo naomba muongozo mkuu!

NB: Nimesoma online wanasema pavilion zinazingua so nikaona nikuombe mawazo yako kama ni kweli na pia juu hizo options tatu ipi itanifaa kwa matumizi ya kazi za engineering...
Gen ya 11 all the way Mkuu, 1165g7.

Kama budget inaruhusu no need kununua laptop za generation ya zamani, Gen ya 11 gpu ya ndani inatosha mambo mengi, ina nguvu kushinda low end dedicated graphics za Nvidia.

Hilo la pavilion kusumbua Sina uzoefu nalo Mkuu, ila unaweza chukua favorite brand yako kwa same specs maana brand zote kubwa Zina Gen ya 11.

Na kama unakwama kabisa hupati Gen ya 11 hakikisha Gen ya 10 inaishiwa na G kama hio dell, Gen ya 10 inayoishiwa na U kama hio Lenovo ni rebranded Gen ya 8.
 
Gen ya 11 all the way Mkuu, 1165g7.

Kama budget inaruhusu no need kununua laptop za generation ya zamani, Gen ya 11 gpu ya ndani inatosha mambo mengi, ina nguvu kushinda low end dedicated graphics za Nvidia.

Hilo la pavilion kusumbua Sina uzoefu nalo Mkuu, ila unaweza chukua favorite brand yako kwa same specs maana brand zote kubwa Zina Gen ya 11.

Na kama unakwama kabisa hupati Gen ya 11 hakikisha Gen ya 10 inaishiwa na G kama hio dell, Gen ya 10 inayoishiwa na U kama hio Lenovo ni rebranded Gen ya 8.

Kinachoumiza kichwa ni hiyo HP ina dedicated graphics ila dell haina. Pia ina 16gb ram na dell ina 12gb! Au dedicated haina issue?
 
Kinachoumiza kichwa ni hiyo HP ina dedicated graphics ila dell haina. Pia ina 16gb ram na dell ina 12gb! Au dedicated haina issue?
Hio graphics sio dedicated, inaitwa Iris XE ipo built in kwenye cpu yoyote Gen ya 11.

Na ddr4 ram ni ghali hivyo 16gb ina make sense
 
Hio graphics sio dedicated, inaitwa Iris XE ipo built in kwenye cpu yoyote Gen ya 11.

Na ddr4 ram ni ghali hivyo 16gb ina make sense
Nimekupata mkuu!!

Sijawahi tumia hp ila Kwa sababu hii HP ina 16gb ram (dell ina 12gb) na ina processor ya 11th gen (dell ina 10th gen) acha nichukue hii HP!!

Kama ikizingua tutaja malizana kwenye warranty!

Nashukuru sana mkuu!!
 
Mkuu laptop moja ina specification tofauti tofauti, hakuna laptop yenye specs moja.

Pia ni vyema ujue actual specification mtu kukwambia tu Nvidia 2gb ni kuingizana chaka, inaweza kuwa ni low end dedicated gpu inayopitwa nguvu na gpu za ndani.

Pia kama wadau huko juu walivyo Sema usinunue kitu kibongo bongo kwa kutuma pesa.
Asante Kwa Ushauri Chief, nmepata msaada wa mawazo kutoka kwenu wadau Asanten Sana
 
Hyo ya laki 9 itakua model ya zamani yenye processor za generation za nyuma. Za intel 8th&9th gen ndio hyo 1.8 na 2M. Za 10th & 11th gen zinaenda mpaka 4M kma ni mpya.

Hyo itakua ya 6th or 7th gen refurbished
 
Back
Top Bottom