mzibua chemba
JF-Expert Member
- Jul 18, 2016
- 476
- 413
nssf nasikia wanatoa ela ila kwa ppf nasikia imekua ngumu naomba msaada ni jinsi gani naweza kupata huko ela zangu maana nimeachishwa kazi toka mwezi wa 5 na nina mzigo wa maana sasa nasikia hawataki kutoa ela wakati kule hela yangu haiongezeki wala kuzalisha huku mimi nataabika mtaani