Johnny_jexy
Member
- Jun 12, 2016
- 22
- 0
Wadau naomba mnielekeze mtu akisoma faculty ya community development anaweza kujiajiri au kuajiriwa katika shughuli gani????
Unaweza pia kuitwa baba maendeleo ya jamii. Inahusu maendeleo ya jamii unaweza ukaajiriwa na serikali na NGOs.Wewe utakubali kuitwa mama ustawi wa jamii!!!
Yaaan ww ni zero brain, hujaambiwa utafsiri.... Elewa swali we mama wa kukurupukaWewe utakubali kuitwa mama ustawi wa jamii!!!

Shukran sana nduguUnaweza pia kuitwa baba maendeleo ya jamii. Inahusu maendeleo ya jamii unaweza ukaajiriwa na serikali na NGOs.
Utafanya kazi na NGO's, utakuwa mtu wa kusafiri sana, inategemea na kazi utakayo pangiwa, unaweza kusafiri kijiji mpaka kijiji au wilaya mpaka wilaya. Uzuri wake hukosi pesa za safari lakini hutakuwa mtu wa kutulia nyumbani.Wadau naomba mnielekeze mtu akisoma faculty ya community development anaweza kujiajiri au kuajiriwa katika shughuli gani????
Asante sana ndugu, sasa huko mtu atakapopangiwa anaenda kufanya shughuli gani za kijamii???Utafanya kazi na NGO's, utakuwa mtu wa kusafiri sana, inategemea na kazi utakayo pangiwa, unaweza kusafiri kijiji mpaka kijiji au wilaya mpaka wilaya. Uzuri wake hukosi pesa za safari lakini hutakuwa mtu wa kutulia nyumbani.
Job Title ni Community Development Officer.Asante sana ndugu, sasa huko mtu atakapopangiwa anaenda kufanya shughuli gani za kijamii???
Oooh.... Thank youJob Title ni Community Development Officer.
Wadau naomba mnielekeze mtu akisoma faculty ya community development anaweza kujiajiri au kuajiriwa katika shughuli gani????
Peleka ujinga huko kwenu, sijauliza community economic development....... Anza ww kumuuliza kwa sababu ndo unayemuwaza.... Kama huwezi kuchangia mada acha kukurupukaKamuulize Makonda maana ndio mwenye hiyo Degree ya Community Economic Development.
Rikwayament? Hatukutaki huku Kwenye uhasibuSori wakuu Ivi naweza somea degree ya koz nyingne tofauti na niliyosoma diploma? Mfano diploma ya HRM then degree in accountancy ..maake naona tcu wamebana hasa kwenye admission rekwayamenti.
Peleka ujinga huko kwenu, sijauliza community economic development....... Anza ww kumuuliza kwa sababu ndo unayemuwaza.... Kama huwezi kuchangia mada acha kukurupuka
Kitu zima unakuwa kama kaoge,,,,, hulazimishwi kuchangia mada, na wasiwasi na ww hujui hata jinsia yakoWewe kweli ni kiazi kikuu ndio maana haujui hicho unachotaka kusomea mpaka ukaja hapa,nyambafff!
hahaha mkuu iyo nmeandika kwa kiswahili zaid ila naimani umenielewa ivo naomba unipe mwanga kidogo ile nipate kufanya vitu vya uhakika zaid. AsanteRikwayament? Hatukutaki huku Kwenye uhasibu