MWAMTOBE
Member
- Jun 18, 2012
- 85
- 21
Wadau Habari,
Nilikuwa na akaunti ya Facebook. Juzi simu yangu ilizingua kidogo hivyo Nika Uninstall Baadhi ya app ikiwemo Facebook.
Baada ya hapo Nika reinstall ila Facebook kila nikitaka ku sign up naambiwa no internet connection hata kama network inasoma 1Mb/s
Je nifanyeje ili kuirudia app yangu na kuendelea kama kawaida?!
Nilikuwa na akaunti ya Facebook. Juzi simu yangu ilizingua kidogo hivyo Nika Uninstall Baadhi ya app ikiwemo Facebook.
Baada ya hapo Nika reinstall ila Facebook kila nikitaka ku sign up naambiwa no internet connection hata kama network inasoma 1Mb/s
Je nifanyeje ili kuirudia app yangu na kuendelea kama kawaida?!