Msaada kuhusu email kwa wazoefu

Msaada kuhusu email kwa wazoefu

itajulikana

Member
Joined
Feb 25, 2012
Posts
8
Reaction score
0
Namba kwa mtu yeyote anayejua set up za email. Naomba nijue mnafanyaje ili kila napo tuma email zangu kwa watu mbalimbali ziwe zinaapia na full address kwa chini bila kuwa naandika mara kwa mara kwa chini. Shukrani kwa masaada wenu.
 
kama unatumia gmail basi nenda kwenye settings located in your upper right hand side...then ukishaclick hapo utaona kwenye tab ya general kuna Email signatures....chagua hapo then uandike details zako ambazo zitakuwa appended automatically for every outgoing email.
Si mtumiaji sana wa Yahoo so am not deep in it...labda nichimbue zaidi nayo...
 
Oh...I have got it also for the Yahoo account....
To set up an email signature in Yahoo! Mail:

  • Select Options | Mail Options in Yahoo! Mail (near the top right corner of your Yahoo! Mail screen)
  • Go to the Signature category.
  • Make sure Show a signature on all outgoing messages is selected.
  • Enter the desired email signature.
  • Click Save Changes.
Hope you will find this more useful.
Regards!
 
Back
Top Bottom