Msaada Kuhusu CRDB VBV/Secure Code!

Msaada Kuhusu CRDB VBV/Secure Code!

Njunwa Wamavoko

JF-Expert Member
Joined
Aug 11, 2012
Posts
5,757
Reaction score
2,388
Habari wana JF!

Kuna hii Protocol wameanzisha CRDB kukutaka usajili Card yako na VBV/Secured Code,awali mimi nilikua na Master Card ambayo nafikiri nilisajili 2014 na ulikua unajaza Form tu then Card inakua enabled kufanya manunuzi mtandaoni bila hii process ya Verifivied By Visa(VBV)/Master Card Secure code!

Sasa kuna siku nilijaribu kununua kitu katika site fulani kwa kutumia Card moja kwa moja wakaniomba Access Code/account number ambayo personally sijawai kupewa hata siku moja ila kwa kuwa kulikuwa na neno "or " account number nkasema ngoja nijaze account number ya card basi ndo ukawa mwisho wa Card yangu ikawa blocked kutumika kwenye ATM na kufanya Online transaction!

Week iliyopita nimeenda kuwaeleza wakanambia niombe Card mpya haikupita hata week jana wakanitumia message nifate Card mpya, nimeifata Leo na nkajaza Form ya online Purchase mida ya asubuhi na wakanambia watanitumia Ujumbe wa kukamilisha Usajili!

Sasa Mida hii wamenitumia Ujumbe ambao unasoma hivi

Code:
Please Register for VBV/SECURE CODE through www.crdbbank.com under Security Help Menu,here is your account number and access code xxxxxxxxxxxxxxxxx

Sasa nkiingia kwenye tovuti yao sioni hicho kitu kama security->Help Menu

Ila naona mahala wanasema nifate hiyo Link ku register for VBV/Secure code ila nkiifata wananiomba Card Number ila process zinazofata zinagoma napewa huu ujumbe hapo chini kwenye picha na hii si mara ya kwanza nilishajaribu kumsajilia mtu hii service card iliishia Kufungwa sasa na mimi sitaki ingia Mkenge

CcpeRj.png


maana kuna Site inabidi nilipie service kila mwezi na Card ya BancABC haikubali huko na site hawatumii PayPal na huduma za ABC zimekua hovyo kabisa unatuma hela kwa Tigopesa inamaliza zaidi ya week haijaingizwa kwenye account,Ukienda Branch kwao unakuta dada sijui ni mtu wa wapi yule yaani anaandika tatizo lako kwenye kitabu na kukulaghai atakupigia kukupa solution ila hakupigii na tatizo lako haliwi solved!

Msaada kwa wale walopata kusajili hii Huduma!
 
Habari wana JF!

Kuna hii Protocol wameanzisha CRDB kukutaka usajili Card yako na VBV/Secured Code,awali mimi nilikua na Master Card ambayo nafikiri nilisajili 2014 na ulikua unajaza Form tu then Card inakua enabled kufanya manunuzi mtandaoni bila hii process ya Verifivied By Visa(VBV)/Master Card Secure code!

Sasa kuna siku nilijaribu kununua kitu katika site fulani kwa kutumia Card moja kwa moja wakaniomba Access Code/account number ambayo personally sijawai kupewa hata siku moja ila kwa kuwa kulikuwa na neno "or " account number nkasema ngoja nijaze account number ya card basi ndo ukawa mwisho wa Card yangu ikawa blocked kutumika kwenye ATM na kufanya Online transaction!

Week iliyopita nimeenda kuwaeleza wakanambia niombe Card mpya haikupita hata week jana wakanitumia message nifate Card mpya, nimeifata Leo na nkajaza Form ya online Purchase mida ya asubuhi na wakanambia watanitumia Ujumbe wa kukamilisha Usajili!

Sasa Mida hii wamenitumia Ujumbe ambao unasoma hivi

Code:
Please Register for VBV/SECURE CODE through www.crdbbank.com under Security Help Menu,here is your account number and access code xxxxxxxxxxxxxxxxx

Sasa nkiingia kwenye tovuti yao sioni hicho kitu kama security->Help Menu

Ila naona mahala wanasema nifate hiyo Link ku register for VBV/Secure code ila nkiifata wananiomba Card Number ila process zinazofata zinagoma napewa huu ujumbe hapo chini kwenye picha na hii si mara ya kwanza nilishajaribu kumsajilia mtu hii service card iliishia Kufungwa sasa na mimi sitaki ingia Mkenge

CcpeRj.png


maana kuna Site inabidi nilipie service kila mwezi na Card ya BancABC haikubali huko na site hawatumii PayPal na huduma za ABC zimekua hovyo kabisa unatuma hela kwa Tigopesa inamaliza zaidi ya week haijaingizwa kwenye account,Ukienda Branch kwao unakuta dada sijui ni mtu wa wapi yule yaani anaandika tatizo lako kwenye kitabu na kukulaghai atakupigia kukupa solution ila hakupigii na tatizo lako haliwi solved!

Msaada kwa wale walopata kusajili hii Huduma!
Nenda kwenye page yao ya facebook watakusaidia, tatizo linakuwaga kwao mara nyingi, walinisaidia na tatizo kama hilo, ila ilikuwa visa card.
 
Nami nilishajaribu nilikata tamaa. Nilipowahoji pale benki nikagundua hata wao hawajui na hawaipendelei. Sababu sijajua. Ila nasikia ukinunua online wanakata kwanza 50,000/- kama ada. Niliposikia hiyo nikaishia hapohapo. Ila ni huduma nzuri tuendelee kustruggle.
 
Nami nilishajaribu nilikata tamaa. Nilipowahoji pale benki nikagundua hata wao hawajui na hawaipendelei. Sababu sijajua. Ila nasikia ukinunua online wanakata kwanza 50,000/- kama ada. Niliposikia hiyo nikaishia hapohapo. Ila ni huduma nzuri tuendelee kustruggle.
Inasumbua Kinoma!

Ila hiyo ya 50,000/= sio Kweli
 
Nenda kwenye page yao ya facebook watakusaidia, tatizo linakuwaga kwao mara nyingi, walinisaidia na tatizo kama hilo, ila ilikuwa visa card.
Walikusaidia Vipi Hapo Mkuu?
Walikutumia code mpya ama wali terminate hiyo process?

Nimewacheki wamesema nisubiri 48hrs ila kuna jamaa yangu mwingine alitumiwa code zaidi ya mara mbili zote zilikua hazifanyi kazi!
 
CRDB siwawezi. Nilitumiwa refund ya 1.2M ila kwenye accunt ilisoma 700K.
Nilifuatilia nikaambiwa niandike barua. Mlolongo mrefu nikagive up.
 
Walikusaidia Vipi Hapo Mkuu?
Walikutumia code mpya ama wali terminate hiyo process?

Nimewacheki wamesema nisubiri 48hrs ila kuna jamaa yangu mwingine alitumiwa code zaidi ya mara mbili zote zilikua hazifanyi kazi!
walituma code na ilikubali.
 
Finally Nimefanikiwa!

Tatizo Lilikua Dogo tu Kuna mahala wanauliza Uwapatie majina kama yalivo kwenye Card!

Sasa Mimi nilikua naingiza Majina Matatu yaliyoko kwenye Card ila Leo nimeeafata baada ya kujaribu access code mbili zinashindwa wakanambia yanaitajika Majina mawili
 
Finally Nimefanikiwa!

Tatizo Lilikua Dogo tu Kuna mahala wanauliza Uwapatie majina kama yalivo kwenye Card!

Sasa Mimi nilikua naingiza Majina Matatu yaliyoko kwenye Card ila Leo nimeeafata baada ya kujaribu access code mbili zinashindwa wakanambia yanaitajika Majina mawili
MKUU MM NINASHIDA KAMA YAKO LAKINI NIKIINGIZA MAJINA MAWILI WANAKATAA
 
Kwanza unatakiwa uende Bank, uwaambie kuwa unataka kujaza form ya ku verify card kwa ajili ya kufanya manunuzi online. watakupatia fomu utajaza then watajaza na kukutumia taarifa za kujaza online hili card iweze kufanya manunuzi.
then utafata hii link --->>> https://secure7.es.arcot.com/vpas/CRDBBank.html
Taarifa watakazo kutumia zina husika katika kujaza hiyo form ya ku verify.
 
CRDB siwawezi. Nilitumiwa refund ya 1.2M ila kwenye accunt ilisoma 700K.
Nilifuatilia nikaambiwa niandike barua. Mlolongo mrefu nikagive up.


pole kwa janga mimi walikata hela mara mbili cha ajabu tokea mwezi wa pili hadi leo hawajarudisha na nimeshaandika barua mpaka basi
 
Back
Top Bottom