msaada kuhusu CPU za simu.

God'sBeliever

JF-Expert Member
Joined
Sep 1, 2015
Posts
5,788
Reaction score
3,068
Habari za wakati huu wana JF.
naomba mwenye ufahamu na hizi processor zinazotumika kwenye mobile phones zetu atuambie ubora wake tofauti na nyingine mfano snapdragon 200, S4, 400 etc. ARM na Cortex A7. na nyinginezo.
Pia wale wa kwenye computer AMD na Intel hawajawezeka kwenye simu?
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn moreโ€ฆ