Msaada kuhusu course ya kusoma 2016

Msaada kuhusu course ya kusoma 2016

hance09

Member
Joined
Jan 15, 2016
Posts
14
Reaction score
0
Habari zenu wanajukwaa,ningependa mnifahamishe kuhusu course ipi hot kati ya IT na Procurement.Ama mnijuze nyingine zilizo Hot!
 
We ulikuwa unafikiria kusoma nini? Au hauna idea kabisa
 
IT ukisoma lazima ujue kufight zaidi ya darasan. Lasivo kama inawezekana kusoma koz za udactar ni bora zaidi. Ila unatakiwa kujipanga
 
Aisee aya mambo yanaumiza sana kichwa kupata course
 
Me nngependa kusoma IT,ama vp
Kama unataka kusoma IT basi uijue kweli sio juu juu tu maana wengi wanamaliza hata kupiga windows hawajui"ni nzuri kama unataka kujiajiri lkn kama kutafuta kazi changamoto sana.
Am IT expert
but listen to your heart
 
IT inabidi uwe competent Sana na ulenge kwenye kujiajiri Sana na pindi ukiwa chuo inabidi usome na vitu vingine ambavyo hamfundishwi pia jitahidi kutengeneza project zako mwenyewe kama software website ili iwe mifano kama MTU anataka kukupa tenda ama Kuombea kazi.
 
Back
Top Bottom