yungsteval
JF-Expert Member
- Feb 21, 2014
- 309
- 109
Habari.
Jana nilenda shule ambapo nilimalizia elimu yangu ya msingi kuchukua cheti changu, nikaambiwa ili nikipate lazima nitoe kiasi cha sh 5000.
Je hiyo ndo bei yake au vinatolewa bure?
Jana nilenda shule ambapo nilimalizia elimu yangu ya msingi kuchukua cheti changu, nikaambiwa ili nikipate lazima nitoe kiasi cha sh 5000.
Je hiyo ndo bei yake au vinatolewa bure?