Msaada kuhusu bodi ya mikopo HESLB

Msaada kuhusu bodi ya mikopo HESLB

Bonikita

Member
Joined
Jun 10, 2015
Posts
6
Reaction score
2
Mimi ni mmoja kati ya loan beneficiaries wa mwaka 2015/16 ila swali langu ni kwamba lini hizo pesa zitakuwa deposited kwetu sisi wahusika coz wengine tunazitegemea hizo ili twende chuo na vyuo tayari vishafunguliwa wengine bado tuko nyumbani kwa tatizo la ukosefu wa pesa
 
Mimi ni mmoja kati ya loan beneficiaries wa mwaka 2015/16 ila swali langu ni kwamba lini hizo pesa zitakuwa deposited kwetu sisi wahusika coz wengine tunazitegemea hizo ili twende chuo na vyuo tayari vishafunguliwa wengine bado tuko nyumbani kwa tatizo la ukosefu wa pesa

pole sana mkuu,,,, jaribu kukopa hata kwa ndgu na jamaa maana pesa hio huwa haitolewi kama unovofikiria, ile pesa mpaka usajiliwe chuoni na baada ya hapo unasaini ndipo iingie kwenye akaunti,, tenaa baada ya siku 5 na hata wiki pia
 
pole sana mkuu,,,, jaribu kukopa hata kwa ndgu na jamaa maana pesa hio huwa haitolewi kama unovofikiria, ile pesa mpaka usajiliwe chuoni na baada ya hapo unasaini ndipo iingie kwenye akaunti,, tenaa baada ya siku 5 na hata wiki pia

ok nmekusoma
 
Jitahidi uende Chuo ufanye registration kwanza muda wa orientation ndio huu
 
Jitahidi uende Chuo ufanye registration kwanza muda wa orientation ndio huu

Lakini mkuu,joining instruction inasema lazima uwe umelipa kila kitu ndo usajilliwe,sasa mwanafunzi anaanzaje kusoma orientation wakati hela hazijatoka?
 
Lakini mkuu,joining instruction inasema lazima uwe umelipa kila kitu ndo usajilliwe,sasa mwanafunzi anaanzaje kusoma orientation wakati hela hazijatoka?

Hiyo pia changamoto
 
Mimi ni mmoja kati ya loan beneficiaries wa mwaka 2015/16 ila swali langu ni kwamba lini hizo pesa zitakuwa deposited kwetu sisi wahusika coz wengine tunazitegemea hizo ili twende chuo na vyuo tayari vishafunguliwa wengine bado tuko nyumbani kwa tatizo la ukosefu wa pesa

azima pesa kwa mtu yeyote yule ukifika chuoni baada ya kusajiliwa pesa ikiingia kwenye account yako utamlipa hivyo huwa tunafanya tulio wengi maskini
 
Mimi ni mmoja kati ya loan beneficiaries wa mwaka 2015/16 ila swali langu ni kwamba lini hizo pesa zitakuwa deposited kwetu sisi wahusika coz wengine tunazitegemea hizo ili twende chuo na vyuo tayari vishafunguliwa wengine bado tuko nyumbani kwa tatizo la ukosefu wa pesa

Wewe hiyo pesa haitolewi bila ya kufika chuo kufanya usajili na kusaini,
Hiyo ni hela ya serikali ambayo inautaratibu wake,
Chamsingi fanya tu kukopa uende chuo na kama hauna account ya bank nenda tu chuo utafungulia huko tena bureeee
 
Lakini mkuu,joining instruction inasema lazima uwe umelipa kila kitu ndo usajilliwe,sasa mwanafunzi anaanzaje kusoma orientation wakati hela hazijatoka?

Tafuta nauli na hela ya michango,
Hiyo hela kumbuka siyo ya michango na nauli, labda ukisha ipata unaweza kupajeti mwenyewe hakiba
 
Lakini mkuu,joining instruction inasema lazima uwe umelipa kila kitu ndo usajilliwe,sasa mwanafunzi anaanzaje kusoma orientation wakati hela hazijatoka?

Tuition fee inaingia moja kwa moja account ya chuo cha msingi tafuta pesa kwa ajili ya direct cost na.hela ya hostel maana hizo inabidi utoe wewe kama wewe...ukimalza registration utasign pesa ya meal and accomodation na books and stationary 650k ila nasikia sasa imepanda hadi 710k
 
Wakuu mambo vp??naomba kujua kama umepata chuo na mkopo asilimia mia..na ukaahirisha mwaka wa masomo!!je unaweza kupata mkopa tena kwa mwaka unaofatia???
 
Wakuu mambo vp??naomba kujua kama umepata chuo na mkopo asilimia mia..na ukaahirisha mwaka wa masomo!!je unaweza kupata mkopa tena kwa mwaka unaofatia???

dogo umepata chuo na mkopo asilimia mia unataka uahirishe mwaka tena,,
 
Back
Top Bottom